Mihimili Ya Kusimamia Katika Maisha Ya Kiroho

Mihimili Ya Kusimamia Katika Maisha Ya Kiroho
3,99€
  • EAN : 9789912436626
  • Protection numérique : Pas de protection

ebook

Achat immédiat, sans abonnement.

Le saviez vous ?

Lisez votre e-book sur ordinateur, tablette et mobile grâce aux applications :


Vivlio et Cultura
partenaires pour vos
lectures numériques
Tout est synchronisé
grâce à votre compte
Cultura
Une aide en ligne pour
vous accompagner

Coups de cœur Cultura

Tous les passeurs de culture peuvent partager leurs découvertes !
Tu as aimé ce produit ? Partage dès maintenant ton coup de coeur :

loader
loader
loader
loader
loader
loader
loader
loader

description

descriptif du fournisseur

Kitabu cha Mihimili ya Kusimamia Katika Maisha ya Kiroho ni mwongozo wenye mvuto uliandikwa kwa lugha rahisi ili kumsaidia Mkristo kumuishi Mungu kwa vitendo. Mwandishi, Fadhili Zebadia Bange, anafafanua safari ya kiroho inayoanza na kusikia Neno la Mungu, kuamini kupitia Yesu Kristo, na kupokea neema ya Roho Mtakatifu ambaye humsaidia muumini katika kuomba na kutoa sadaka kwa moyo wa kupenda. Kupitia mafunuo haya na marejeo mengi ya maandiko matakatifu, msomaji anajengwa ili asiwe mtu wa kawaida tena.

 

Lengo kuu la kitabu hiki ni kuhakikisha kuwa maisha ya kiroho yanazaa matokeo yanayoshikika katika ulimwengu wa mwili. Mafundisho yaliyomo yamejikita katika kuleta mabadiliko chanya kwenye nyanja mbalimbali za maisha kama vile uchumi, afya, na mahusiano ya kijamii. Ni nakala muhimu kwa mtu yeyote aliyeamua kudhihirisha nguvu ya Mungu katika mfumo wake wa maisha ya kila siku kwa mafunuo makubwa na ya kina.

 
Mihimili Ya Kusimamia Katika Maisha Ya Kiroho

Mihimili Ya Kusimamia Katika Maisha Ya Kiroho


On vous recommande avec votre achat
Mihimili Ya Kusimamia Katika Maisha Ya Kiroho

Mihimili Ya Kusimamia Katika Maisha Ya Kiroho

3,99
+

Découvrez aussi